Wednesday, August 31, 2016

MAJIBU LYRICS BY FLORENCE ANDENYI


nainua mikono yangu ,juu,
napasa sauti yangu eh,
nainua mikono yangu juu,
napasa sauti eh
sikia kilio changu baba,
sikia maombi yangu oh,
sikia kilio changu baba,
sikia maombi yangu oh,

majibu yako tu,ndo nangoja ,
baraka zako tu
majibu yako tu,ndo nangoja ,
baraka zako tu

eh kama ni kuomba nimeomba baba,
kama ni kufunga nimefunga sana,
siku ishirini na moja nikitafuta uso wako,
kwa mlima huu nikuone baba,
kwa mlima huu nakungoja yesu,
shusha utukufu wako nikuone leo,

majibu yako tu,ndo nangoja ,
baraka zako tu
majibu yako tu,ndo nangoja ,
baraka zako tu

kuna wale wanangoja,majibu ya fedha,
wengine wanangoja majibu ya huduma,
yule kijana anangoja karo ya shule,
fungua yesu ,wakuone leo,
fungua milango baba ah,
fungua milango,daddy eh,
umesema mwenyewe bisha utafunguliwa,
na tena ukasema omba utapewa ,
fungua milango baba ,yahweh,
fungua milango ,daddy ,oh,
fungua milango baba oh
fungua milango,yahweh eh,

majibu yako tu,ndo nangoja ,
baraka zako tu
majibu yako tu,ndo nangoja ,
baraka zako tu

Tuesday, August 30, 2016

MWANA WA MUSUMBI LYRICS BY WILBERFORCE MUSYOKA


Mumo waku umbianie
(Vayii kavinda mwana wa musumbi eew'a wauni
Unyamaaw'a ni kwolya kiw'u kithimani) x2
Avitukaw'a akanewa kila ukwenda x2

Nundu wa mumo wa kiusumbi
Nundu wa mumo wa nyumba ya kiusumbi
Nienda Mumo(nienda mumo)
 na wendeesyo munene wa Ngai x2
(Mwana wa Musumbi eetisye
 kyongo kya Yoana muvatisi ki isaanini ,
na aetewe ni kwithiwa ni Mwana Wa Musumbi.
Nenge Mumo wa Kiusumbi)

Tunyamaaw'a ni kulea kumanya
Tuthinaw'a ni kulea kumanya
Tunyamaaw'a endwa ni kulea kumanya
Tunyamaaw'a muno ni kulea kumanya
Twi syana sya usumbi Mbai ya uthembi mbailu
Tunyamaaw'a muno no kulea kumanya
Twi syana sya usumbi syusuitwe ni Mumo
Na wendeesyo munene Wa Ngai

Nienda mumo(mumo waku)
na wendeesyo munene wa Ngai
(Hallelujah, Twienda Mumo Wa Ngai
ula wikalaa tene na tene,
ula utonya utuvikya vala kisomo kitaatuvikya)

Chorus
Mumo waku mwa Yesu umbianie
Nienda mumo waku Yesu wakwa mwa umbianie
(Chorus)
A nienda mumo mumo mumo mumo waku mwa umbianie
(Chorus)
Wiani wakwa nienda mumo mwa waku mwa umbianie
(Chorus)
Winini wakwa nienda mwa mumo umbianie
(Chorus)
Winini wakwa mumo mwa waku mwa umbianie
(Chorus)
Musyini wakwa mumo waku mwa umbianie
(Chorus)
Amaitha mokila mumo mwa waku umbianie
(Chorus)
Ivinda ya matatwa nienda mwa mumo umbianie
(Chorus)
Kwisila mumoni waku miundani yakwa kukethiwa ngetha
(Chorus)
Kwisila mumoni waku ndaviti atwaie mwiitu wa musumbi
(Chorus)
Nenga mumo wa kwovea ndeto yaku na myamulo ngooni yakwa
(Chorus)
Nenga Mumo Mumo mwa waku mwa umbianie
(Chorus)
Kwisila mumoni waku Mose aeaiwe nyimbani ya asumbi
(Chorus)
Kwisila mumoni waku Esita atwikie mwa muka wa musumbi
(Chorus)
Kwisila mumoni waku mwakani ni kwata kyama kya uthi na ndeke
(Chorus)
Kwisila mumoni waku winenga Yesu mwa muka museo
(Chorus)
Kwisila mumoni waku indo syakwa syi syaa mavatha
(Chorus)

NIWAILITE KUTHAITHYWA LYRICS BY WILBERFORCE MUSYOKA

(Hallelujah,
Yesu vate vinya waku nditonya,
 niwailite kuthaithwa ni ngoo yakwa ,
Mwana wa Ngai ula wikalaa tene na tene,
oh hallelujah, osa nguma na ngatho Yesu)

Niwailite kuthaithwa, Yesu wakwa
Nundu vate na vinya waku, 

Mwana nditonya

Chorus
(Niwailite kuthaithwa, Yesu wakwa
Nundu vate na vinya waku,
Mwana waku nditonya) x4
Niwailite kuthaithwa, Yesu wakwa
Nundu vate na vinya waku,
 Mwana nditonya

(Chorus x2)

(Katikati wa syonze ila weekie vinya, Yesu wakwa
Wanyuvie Yesu na kwoko kwaku, kenda nguthaithae) x2

(Chorus x2)

(Ukilitye uvya wakwa, wa utheo tata na ulungalu
ukane withianu waku, Mwana nguthaithae) x2

(Chorus  x2)

(Kwisila uikiiku waku, wikite kyama
ukatia uthyu wakwa na utisiku, Tata wa utanu) x2

(Chorus  x2)

Chorus x4

(Twooka tukuthaithe Yesu,
hallelujah mwana wa Ngai twooka tuuthaithe niwailite Yeova,
kutie ungi taku Mwana wa Ngai ula wikalaa tene na tene,
niwailite Yesu Hallelujah)
Niwailite kuthaithawa, niwailite kuthaithawa, niwailite kuthaithawa
(Niwailite Yehova, niwailite mwana wa Ngai)

HATUA MOJA LYRICS BY WILBERFORCE MUSYOKA

(Nataka hatua moja zaidi, oh Baba hatua moja zaidi)

Chorus
Ninachotaka kutoka kwako, ni hatua moja zaidi x2
Eh Yesu uu zaidi na zaidi x2


verse 1
Neno lako ndilo nuru na taa ya miguu yangu x2
Kutoka hatua kwenda hatua, Baba nimulikie x2
Ooh Baba nimulikie,
ninachotaka kutoka kwako, hatua moja zaidi
(Mulika Baba, Mulika Yesu) x2

(Chorus)

verse 2
Nimekaa nilipo kipindi cha mapito kwa muda mrefu x2
Marafiki zangu wamejenga manyumba, nimebaki
Marafiki zangu wamenunua magari, nimebaki
(Wengine wamesomesha, Mimi tu nimebaki) x2
Oh Baba nipe hatua moja, Oh Baba hatua moja zaidi

(Chorus)

verse 3
(Nimejaribu kila njia, hakuna linalosonga) x2
Hekima talanta hakuna linalosonga
Elimu hakuna linalosonga
Sasa macho yangu, Baba yako kwako,
leo macho yangu, Baba yako kwako,
Nipe tu, hatua moja zaidi,
Baba nipe, hatua moja zaidi

(Chorus)

verse 4
Zaidi na zaidi tunasonga mbele
(Nawe) x4 Yesu, tunasonga mbele
Katika safari yangu, ni wewe nakuhitaji Baba
(Nawe) x4 Yesu ninasonga mbele
Katika nyumba yangu, na biashara yangu Baba
(Nawe) x4 Yesu ninasonga mbele
Wewe na Mimi Baba, Mimi na wewe Yesu
(Nawe) x4 Yesu ninasonga mbele
Nipe hatua moja zaidi Baba nisonge na wewe mbele
(Nawe) x4 Yesu ninasonga mbele

NETEELETE NIKWONE LYRICS BY WILBERFORCE MUSYOKA

(Waneenie na Hannah Mwiai we,
wamwia mwakani nonginya akwone) x2
(Syathi na mavinda syi mokoni maku,
na neteelete onakwa nikwone) x2
Ta Batimayo nienda nikwone na metho,
 neteelete onakwa nikwone eh

Neteelete onakwa nikwone, (niw'aa andu maikusia)
Neteelete onakwa nikwone, (nenge ukusi Yesu)
Neteelete onakwa nikwone, (nienda nakwa Yesu)
Neteelete onakwa nikwone

(Hallelujah,
Yesu neteelete nikwone ta Batimayo,
 Hallelujah, nonete ndwikiwa ngew'a ou)
(Nisisya maunduni makwa nyie,
ta Esekieli ngona mavindi)x2
Neteelete onakwa nikwone we,
mwa na neteelete onakwa nikwone
Nienda Mwiai wakwa wiyonanie we,
nundu neteelete onakwa nikwone
Maunduni makwa Yesu nikwone nyie,
nienda Mwiai wakwa nikwone ehh

Neteelete onakwa nikwone, (niwe mwene utonyi)
Neteelete onakwa nikwone, (nenga uumisyo Yesu)
Neteelete onakwa nikwone, (numiisye Yesu)
Neteelete onakwa nikwone, (Ninakithetheesyo)

(Hallelujah,
vika vandu wie Yesu numweteelete,
eka kweteela anyanyau,
 eka kweteela Mwendwa,
eka kweteela andu ala angi,
Yesu ni mwikiiku)
Uyukilya aini ukambani,
neteelete onakwa nikwone
Nienda Mwiai wakwa wiyonanie we,
niine ngwinie na utonyi Wa veva
Uyukilya aini ukambani,
ndukolwe ninye nienda nikwone
Nienda Mwiai wakwa wiyonanie we,
niine ngwinie na utonyi Wa veva
Nundu neteelete onakwa nikwone we,
mwa na neteelete onakwa nikwone ehh

Neteelete onakwa nikwone, (Massiah wakwa we)
Neteelete onakwa nikwone, (Ngai mwene utonyi)
Neteelete onakwa nikwone, (meko maku manene)
Neteelete onakwa nikwone

Niumbula na ndeto sya kanywa wakwa,
kana mwakani nithi na ngali
Niumbula na ndeto sya kanywa wakwa,
kana mwakani nonginya ngwone
Niathana na ndeto sya kanywa wakwa,
usuitwe ni utonyi Wa veva
Kana mwakani mwendwa wimwona Ngai,
kana mwakani nonginya umwone,
Niathana na ndeto sya kanywa wakwa
kana mwakani nonginya umwone eh

Neteelete onakwa nikwone, (Massiah wakwa)
Neteelete onakwa nikwone, (Usuitwe ni utonyi)
Neteelete onakwa nikwone, (kutie ungi taku)
Neteelete onakwa nikwone

(Hallelujah, nonginya tumwone mwakani,
kwa kunia Yesu moko moko moko moko moko, hallelujah)
Oh nienda nikwone, nienda nikwone
Yesu nienda nikwone, nienda nikwone
Thayuni wakwa nienda nikwone, nienda nikwone
Yesu nienda nikwone, nienda nikwone
Onakwa nienda, nikwone we, nienda nikwone
Yesu nienda nikwone na metho, nienda nikwone
Eh nienda nikwone we, nienda nikwone
Witawa Emmanuel Ngai vamwe nakwa Yesu, nienda nikwone
Witawa Ngai mwene utonyi, nienda nikwone
(None kwoko kwaku Massiah,
Hallelujah, kutie ungi taku Massiah,
kwoko kwaku nikutonya kutangiia,
kwoko kwaku kwi utonyi, Hallelujah)

KUTUNGA MUVEA LYRICS AND TRANSLATION BY WILBERFORCE MUSYOKA


verse 1
(Hallelujah)
(Ndalany'a maundu manene, ala Yesu umbikite,
(am just counting my blessings)
 kila ngwona ki vata, ni kutunga muvea)x2.
  (but the most important of all is thanksgiving)
(Wandilikany'a kutunga muvea, 

(you have reminded me to thank you)
nooka kutunga muvea,
(have come to thank you)
ngoo yakwa yusuitwe ni kutunga muvea)
(my heart is full of thanksgiving)

Chorus
(Wandilikany'a kutunga muvea, 
(you have reminded me to thank you)
nooka kutunga muvea,
(have come to thank you)
ngoo yakwa yusuitwe ni kutunga muvea)
(my heart is full of thanksgiving) x2

verse  2
oh hallelujah.
(Nai Yesu ngithelekelya uthuiloni Wa sua
(i was completely lost)
wambiie ukila utisuke nundu wi mwana wakwa) x2
(as your son you taught me to rise and shine)
(Wandilikany'a kutunga muvea, 
(you have reminded me to thank you)
nooka kutunga muvea,
(have come to thank you)
ngoo yakwa yusuitwe ni kutunga muvea)
(my heart is full of thanksgiving)

chorus

verse 3
(Nililikana nduani nai ntheko,
(i was a joker in the village)
 musyi kwitu nai mukuo,
(i was unreliable in our family)
 asyai makwa mandeie makaia nundu wa kwona thina) x2
i was actually a burden to my parents)
Wookie na utangiio,
(you came with salvation)
uvonokyo kuma ukyani Yesu,
(redemption from poverty)
ngoo yakwa yusuitwe ni kutunga muvea)
(my heart is full of thanksgiving)

Chorus

verse 4
(Wandilikany'a kutunga muvea,
(you have reminded me to thank you)
 (aya ni meko maku,ti wia wakwa) 
(these are your deeds not mine)
ngoo yakwa yusuitwe ni kutunga muvea)
(my heart is full of thanksgiving)

 Chorus

(Oh hallelujah taiwa Yesu,
(halleluyah jesus be worshipped)
 nue wikite maunene na mawonany'o thayuni wakwa,
(you have done great and wonders in my life)
ngoo yakwa niyatinika kwondu waku)
(my heart is awaiting upon you)
((Hallelujah Yesu)x3 hallelujah)x2.
(Hallelujah) x5

Chorus

MATENDO LYRICS BY EVERLYN WANJIRU



matendo yako,yanatisha,
matendo yako baba ,yanatisha,
yanatisha ,tisha ,baba we,

(chorus)
matendo yako,yanatisha,x4

verse 1
nimesikia habari zako,
nashuhudia kazi zako,
yale umetenda,yote umesema,
ni ishara kwamba wewe ni mungu,

(chorus)

verse 2
ajira yako ni kamili,kazi yako inadumu,
hauchelewi baba ,tunapokuhitaji,
oh upo wakati wote,

(chorus)

nasema ukisema ndio,hakuna wa kupiga,
ni ndio na amina,oh jehove we baba,

(chorus)

verse 4
nasema (eh eh eh eh eh)
unanishangaza baba,(eh eh eh eh eh)
hakuna kama wewe,(eh eh eh eh eh)
unainua baba, (eh eh eh eh eh)
we unabariki wewe ,(eh eh eh eh eh)
ona waketishwa na wafalme (eh eh eh eh eh)
matendo yako yanatisha (eh eh eh eh eh)
nashangazwa na mambo yako,(eh eh eh eh eh)

Thursday, August 25, 2016

I BLESS YOUR NAME LYRICS BY SPIRIT OF PRAISE FT.BENJAMIN DUBE


In prisoners’ chains, With bleeding stripes
Paul and Silas prayed that night
And in their pain began to sing
Their chains were loosed; And they were free

Chorus:
I bless Your Name, I bless Your Name
I give You honor, give You praise
You are the Life, the Truth, the Way
I bless Your Name, I bless Your Name
Some midnight hour, If you should find
You’re in a prison in your mind
Sing out and praise, Defy these chains
And they will fall, In Jesus’ Name

(Chorus) x2

Jesus, Jesus, Jesus, Jesus
Jesus, Jesus, Jesus
I bless your Name, I bless your Name

(Chorus)

Jesus, Jesus, Jesus, Jesus
Jesus, Jesus, Jesus
I bless your Name, I bless your Name
I bless your Name, I bless your Name
I bless your Name, I bless your Name

Wednesday, August 24, 2016

STILL YOU REIGN LYRICS BY SONIE BADU FT.ANNIE BADU




still you reign,still you rule,
still you are king and lord of all x6

doh oghene doh oghene doh,
doh oghene doh,lord you reign x6

i have searched through all eternity,
none but jesus christ has set me free,
i'm walking now in victory i'm saved,x4

doh oghene doh oghene doh,
doh oghene doh,lord you reign x6

till you reign,still you rule,
still you are king and lord of all x6


Sunday, August 21, 2016

NO MORE LYRICS BY MBUVI



nivute karibu nawe,natamani niwe nawe,
ah ah ah,karibu nawe,ni salama,baba ah,
nisijesahau nimpotoke,naye adui aje aniweke pingu zake,
nimechoshwa na mapenzi yaliyonivunja moyo,

oh ,i don't want no more,
to give up no more,

in your presence is fullness of joy,
at your right hand ,
i wanna be where you are dwelling daily,

bwana u sehemu yangu tena u fungu langu,
nimetambua ukiwa wangu ,sipungukiwi kitu,

oh ,i don't want no more,
to give up no more,





Sunday, August 14, 2016

NJOO SASA LYRICS BY REUBEN KIGAME


nilikuumba unitukuze,uyafanye mapenzi yangu,
kabla kuzaliwa na mama yako ,nilikujua na kukupangia,
mambo mema maishani,kwa kuwa mimi ni mungu wako,
kwa nini wanitoroka,kana kwamba nimekukosea,
ae ae fungua macho,ona maisha yalivyo mafupi,
ae ae ukifa sasa,utaacha faida gani,
elimu mimi nimekupatia,ukaivunia kunikashifu,
pesa na mali nikakupa,ukavitumia kunidharau,
sura nzuri nilikuumba,ukaitumia kwa kujiuza,
mbona sasa wahangaika,maisha yako yameporomoka,
ae ae ninakuomba,unirudie nikusafishe,
ae ae ninakupenda ,me ni mungu wako ni wa rehema,

roho yako, eh naitaka sasa,
niitakaze,eh naitaka sasa,
akili yako eh naitaka sasa,
dhamira yako eh naitaka sasa,
niitumie eh naitaka sasa,
unitukuze eh naitaka sasa,
siku zote eh naitaka sasa,
mwili wako eh nautaka sasa,
niutakaze eh nautaka sasa,
njoo leo eh nakutaka sasa,
nikuokoe eh njoo sasa ah,
uliyeumia eh njoo sasa ah,
utapona eh njoo sasa ah,

(njoo sasa ,eh njoo sasa ah,)x2
nikaribie eh njoo sasa ah,
njoo sasa ,eh njoo sasa ah,
hujachelewa ,eh njoo sasa ah,x2








KUTEMBEA NA YESU LYRICS BY REUBEN KIGAME

si njia rahisi ,ya kwenda mbinguni,
miba mingi sana,si njia rahisi ,lakini ninaye,
mwokozi aliyenifia,

kutembea na yesu,uongoza safari,

si njia rahisi,mashaka ni mengi,

KAA NAMI LYRICS AND TRANSLATION BY REUBEN KIGAME

Kaa nami ni usiku tena (Abide with me; fast falls the eventide;)
Usiniache gizani bwana (The darkness deepens; Lord with me abide.)
Msaada wako haukomi (When other helpers fail and comforts flee,)
Niko pekee yangu, kaa nami (Help of the helpless, O abide with me.)


Nina haja nawe kila saa (I need Thy presence every passing hour.)
Sina mwingine wa kunifaa (What but Thy grace can foil the tempter’s power?)
Mimi nitaongozwa na nani (Who, like Thyself, my guide and stay can be?)
Ila wewe bwana, kaa nami (Through cloud and sunshine, Lord, abide with me.)



Nilalapo nikuone wewe (Hold Thou Thy cross before my closing eyes;)
Gizani mwote nimulikie (Shine through the gloom and point me to the skies.)
Nuru za mbinguni hazikomi (Heaven’s morning breaks, and earth’s vain shadows flee;)
(Siku zangu zote kaa nami (In life, in death, O Lord, abide with me. X2)

Saturday, August 13, 2016

MAPENZI LYRICS BY BAHATI



Wengi Kwa Mapenzi Hawana Imani,
Yaliwaumiza Sana
Mapenzi Yanatesa Zaidi ya Money ×2

Yalimtesanga Kakangu Zamani
Nyumbani Ikawa Kisirani
Washirika Wakatoka Kanisani.
Yalimtesanga Kakangu Zamani
Wameyaimba Wengi kwa Burudani
MWENYEWE ALIONYESHA MSALABANI....Lalalaaa

CHORUS
Oh Ooh Oh Ooh
Mapenzi Kwanini Unatesa Tesa???
Aliyekuumba ni Mola Mola×2

VERSE 2
Nilifunzwa na Babuu
Alivyomtunza nyanyaa
Nikasoma kwa baba Naye
Alivyo Mpenda Maamaa×2

Na Adamu akampenda Hawa
Sababu akala Lile tunda
Apo ndipo Dhambi kazaliwa
Unakumbuka Weewe???

Na Adamu akampenda Hawa
Sasa Dhambi inafanya Tulia
Kwa Mapenzi inafanya Tunachezwaa...
UNANIPATAA???

CHORUS Oh Ooh Oh Ooh
Mapenzi Kwanini Unatesa Tesa???
Aliyekuumba ni Mola Mola×2

[ BRIDGE ]
Nikaogopa Kupenda Tena
Nikaogopa Kupata Waangu
Mtoto Wa Mama
Mbona Unatesa Mapenzi???
Mbona Unatesa Kwanini???
Mbona Unatesa Mapenzi???
Kazini,Nyumbani,Kanisa Inasemaa...

CHORUS
Oh Ooh Oh Ooh
Mapenzi Kwanini Unatesa Tesa???
Aliyekuumba ni Mola Mola×2

MUNGU KAUMBA MAPENZI
STORY YA MAPENZI
ILIANZIA  EDENI

Friday, August 12, 2016

MKONO WA BWANA LYRICS AND TRANSLATION BY MERCY MASIKA


oh,
wu wu wu wu wu wu wu wu wu
la la la la la la la la  la la la
umeomba sana - ah
umehangaika sana
umengoja sana, ila majibu uoni
nyuma mbele,kwa marafiki utoshi

usife moyo Mungu hayuko busy
ana mpango mwema juu yako X 2

[refrain]
hakika mkono wa bwana si mfupi
wala sikio lake si nzito kusikia
mkono wa bwana si mfupi
wala sikio lake si nzito kusikia

ahadi zake ni kweli
njia zake sio kama mwanadamu
akili zake ziko juu,
hatufikii sisi wanadamu
tulia, tulia na baba

[refrain]
tusife moyo Mungu hayuko busy
ana mpango mwema juu yetu X 2
hakika mkono wa bwana si mfupi
wala sikio lake si nzito kusikia
mkono wa bwana si mfupi
wala sikio lake si nzito kusikia

aleluya ni mwaminifu

[refrain]
hakika mkono wa bwana si mfupi
wala sikio lake si nzito kusikia
mkono wa bwana si mfupi
wala sikio lake si nzito kusikia
mkono wa bwana si mfupi
wala sikio lake si nzito kusikia
mkono wa bwana si mfupi
wala sikio lake si nzito kusikia

TRANSLATION

oh,
wu wu wu wu wu wu wu wu wu
la la la la la la la la  la la la
umeomba sana - ah
(you have prayed alot)
umehangaika sana
(you have sufferred alot)
umengoja sana, ila majibu uoni
(you have waited but no answer)
nyuma mbele,kwa marafiki utoshi
(you are not worthy before friends)

[refrain]
usife moyo Mungu hayuko busy
(don't give up God is never busy)
ana mpango mwema juu yako X 2
(He has good plans for you)

hakika mkono wa bwana si mfupi
(for Gods has isn't short )
wala sikio lake si nzito kusikia
(nor His ears deaf to hear)
mkono wa bwana si mfupi
(for Gods has isn't short )
wala sikio lake si nzito kusikia
(nor His ears deaf to hear)

ahadi zake ni kweli
(His promises are true)
njia zake sio kama mwanadamu
(His ways are not similar to mankind)
akili zake ziko juu,
(He is smart in mind)
hatufikii sisi wanadamu
(far from mankind)
tulia, tulia na baba
(relax in God)

[refrain]
usife moyo Mungu hayuko busy
(don't give up God is never busy)
ana mpango mwema juu yako X 2
(He has good plans for you)

hakika mkono wa bwana si mfupi
(for Gods has isn't short )
wala sikio lake si nzito kusikia
(nor His ears deaf to hear)
mkono wa bwana si mfupi
(for Gods has isn't short )
wala sikio lake si nzito kusikia
(nor His ears deaf to hear)

aleluya ni mwaminifu
(halleluyah He is faithful)

[refrain]
hakika mkono wa bwana si mfupi
(for Gods has isn't short )
wala sikio lake si nzito kusikia
(nor His ears deaf to hear)
mkono wa bwana si mfupi
(for Gods has isn't short )
wala sikio lake si nzito kusikia
(nor His ears deaf to hear)
mkono wa bwana si mfupi
(for Gods has isn't short )
wala sikio lake si nzito kusikia
(nor His ears deaf to hear)
mkono wa bwana si mfupi
(for Gods has isn't short )
wala sikio lake si nzito kusikia
(nor His ears deaf to hear)

Wednesday, August 10, 2016

VITA VIZURI LYRICS AND TRANSLATION BY REUBEN KIGAME


Chorus:
Nimevipiga vita vizuri,
(I have fought the good fight)
Mwendo wangu nimeumaliza
(I have completed my race)
Nayo imani nimeilinda
 (I have kept the faith)
Natarajia kupewa taji na Bwana
 (I expect to be crowned by the Lord)


Nikitazama nyuma sijuti hata(?)
 (I do not regret my past)
Nimejifunza kusahau yaliyopita
(I have resolved to forget my past)
Sasa najisukuma kwa yaliyo mbele
(Now I focus on what is ahead)
Nikimfuata Yesu mwokozi wangu
(As I follow Jesus my savior)

(Chorus)


Japo imani yangu imetikiswa
 (Though my faith is shaken)
Mimi nimeshikiliwa na Yesu wangu
(My Jesus holds me safe)
Hata wakiniacha rafiki zangu
(Though my friends abandon me)
Siri mimi niko na Imanueli
(My secret: I abide with Emmanuel)

(Chorus)

Bridge:
Nifuateni, nifuatatavyo Yesu
 (Follow me, as I follow Jesus)
Yeye ni mwanzo na mwisho wa imani yetu
 (He’s the author and finisher of our faith)
Msishawishike na ulimwengu upitao
(Don’t be temped by the fleeting world)
Tuvipige vita vizuri
 (Let us fight the good fight)


(Chorus)

SAUTI LYRICS BY REUBEN KIGAME


Sauti yake bwana,yapendeza mno,
tamu zaidi ya asali,imejaa utukufu,
utetemesha nchi,kadhalika misitu na mito,
imejaa angano ayala uwazalisha,

sauti yake bwana utuliza roho yangu,
nikichanganyikiwa,sauti uniongoza,
hekaluni mwa bwana ,sifa utukufu,
ni ye mfalme milele,nitaimba sifa zake

utetemesha nchi,kadhalika misitu na mito,
imejaa angano ayala uwazalisha,
hekaluni mwa bwana ,sifa utukufu,
ni ye mfalme milele,nitaimba sifa zake

BWANA VUTA LYRICS BY REUBEN KIGAME

ni kwako bwana,nimesikia sauti ya mapenzi,
nivute bwan ,kwa yako imani,nizidi kusongea,

bwana vuta,vuta ,nije nisongee,kwako msalabani,
bwana vuta,vuta ,nije nisongee,kwa damu ya dhamani,

nitakase nikutumikie,kwa nguvu za neema,
roho yangu ikutumaini,nitendee upendavyo,

bwana vuta,vuta ,nije nisongee,kwako msalabani,
bwana vuta,vuta ,nije nisongee,kwa damu ya dhamani,




Tuesday, August 9, 2016

HERI SIKU MOJA LYRICS AND TRANSLATION BY REUBEN KIGAME

Ewe Mungu wa majeshi,
(oh lord of lords)
ninapenda kukaa nawe,
(i have loved to be with you)
maskani zako zapendeza,
(your home is beautiful )
nazikondea kwa shauku kubwa.
(i would like to dwell there)
Heri siku moja mbele zako,
(its better one day with you )
kuliko siku elfu mbali na wewe
(than a thousand days without you)

Ee Bwana nguvu na msaada wangu nitakupenda daima.
(you are my provider i will love you forever)

Moyo na mwili wangu
(my body and heart)
Bwana vyakulilia Mungu wangu,
(we are looking for you,my God)
heri nikose vyote Baba,
(its better i lack everything)
lakini nikupate wewe
(and be with you)
Heri siku moja mbele zako,
(its better one day with you )
kuliko siku elfu mbali na wewe
(than a thousand days without you)
Ee Bwana nguvu na msaada wangu nitakupenda daima.
(you are my provider i will love you forever)

Heri siku moja mbele zako,
(its better one day with you )
kuliko siku elfu mbali na wewe
(than a thousand days without you)
Ee Bwana nguvu na msaada wangu nitakupenda daima.
(you are my provider i will love you forever)




NI WEWE LYRICS BY ANGEL BENARD



Nimetoka mbali hadi hapa nilipo,
si kazi rahisi eh,si kazi rahisi,
nikitafakari hivi nilivyo,
haikuwa rahisi eh haikuwa rahisi,
pamoja na ungumu ,mungu ulinishikilia,
nisirudi nyuma oh eh,
si kuhofu nilidumu,huku ukinishikilia,
nisikate tamaa,eh ,mungu wewe.

wewe ,umekuwa ushindi wangu,
wewe umekuwa tumaini langu,
wewe umekuwa ushindi wangu,
wewe ,wewe,wewe,

ukatengua mitego,ukanifanyia wigo,
ukaondoa mapigo yangu yote,x2

pamoja na ungumu ,mungu ulinishikilia,
nisirudi nyuma oh eh,
si kuhofu nilidumu,huku ukinishikilia,
nisikate tamaa,eh ,mungu wewe.

wewe ,umekuwa ushindi wangu,
wewe umekuwa tumaini langu,
wewe umekuwa ushindi wangu,
wewe ,wewe,wewe,


Wednesday, August 3, 2016

WI MWAILU LYRICS BY WILBERFORCE MUSYOKA

Verse 1
Ndeto yiasya ii mwa mwendwa x2
(the word says)
Ngatia asyai makwa nilimanye naku mwendwa x2
(I will leave my parents to be with you)
Ndungia asyai maku muvea x2
( I thank your parents)
Nundu wa ukueya nginya ukeana,
(for taking care of you)
Kikioni kya ngai sisya wimwailu
(you are beautiful before God)
(Makongela undikiia ngutwae mwa x2)
(for trusting me to marry you)

(chorus)
Wimwailu (wimwailu mwa mwendwa)
(you are beautiful my love)
Ningwendete (ningwendete mwa mwendwa)
(I love you )
Wimwailu (wimwailu mwiitu iyia)
(you are beautiful my love)
 Ningwendete , mwendwa
(I love you )

Verse 2
Methoni maku wambonisye muuo na wendo,
(you have shown me peace and love
Neesilasya muthenya wa umunthi,
(have been thinking of this day)
Ngakoma kuithetheana,
(till I slept at day break)
(naendie kiimani ngwone x2)
(I prayed in mountains to see you)
(Katikati wa aka ma kiusumbi x2)
(amongst royal women)
Nina ndeto sya ukutavya mwendwa wakwa,
(I have good words for you)

(chorus)

Verse 3
Uka wose kw’oko kwakwa nakwa ngwate kwaku,
(come hold my hand as I hold yours)
Uka ungwate kw’oko nakwa ngwate kwaku,
(come hold my hand as I hold yours)
(We wi mwailu) (you are beautiful)
Uka unenge mbete yaku ngunenge i yakwa,
(come and give me your ring as I give you mine)
(ningwendete mwendwa)
(I love you)
Uka unenge mawatho maku nakwa ngunenge makwa,
(come we exchange vows)
(ningwendete eh)
 (I love you)

Kwasisya muthenya wa umunthi uu,
(look at this day)
Kwasisya muthenya uu undu ne mwailu,
(look how this day is good)
(Kwasisya utanu wa umunthi uu x2)
(look at todays happiness)
Mwendwa ,lilikana vaasa va twaumie,
(look at this far we have come)
Mwendwa ninaku,
(with you)

(chorus)

Verse  4
Ithiue kenda mwendwa unzisya,
(look at me darling)
Ithiue mwiitu aya mwa nzisye,
(look at me darling)
 (Ngunenge mawatho ma wendo witu x2)
(to give you our love vows)
Kwi mowao mwendwa,
(in sickness)
(ngakwendaa)
(I will love you)
Wi muima mwendwa,
(in health)
(ngakwendaa)
(I will love you)
Mawonzuni maku baby ,
(in your weakness)
(ngakwendaa)(I will love you)
Twikalae vamwe na wendo,
(to live in love)
(ngakwendaa) 
(I will love you)
 Kwi kuseo na kwi kuthuku,
(in goodness and worse times)
(ngakwendaa)
(I will love you)
 Kwi uthwii na kwi ukya,
(in richness and poverty)
(ngakwendaa)
(I will love you)
 Kwi mowau na kwi uima wa mwii,
(in sickness and health)
(ngakwendaa)
(I will love you)
{Ngakwendaa mwendwa , (ngakwendaa) x2}
(I will love you)
Twikalae vamwe na wendo,
(we live with love)
(ngakwendaa)
(I will love you)
 Ngekalanasya naku na wendo,
(I will love you)
(ngakwendaa)
(I will love you)
 Ngekalanasya naku na ndaia,
(I will love you)
(ngakwendaa)
(I will love you)
 Kwi moseo na kwi mothuku,
(in goodness and worse situations)
(ngakwendaa)
(I will love you)
{Ngakwendaa ngakendaa (ngakwendaa) x2}
(I will love you)


NO OTHER GOD LYRICS BY DR.TUMI

we love you lord,we adore you lord,
we lay our lives before your throne x6

none besides you lord,no other God but you,
we lay our lives before your throne x 6



WENA UYINGCWELE LYRICS AND TRANSLATION BY BENJAMIN DUBE FEAT SICELO MOYA



Wena Uyingcwele
(Only You Are Holy)
Akekho Onjengawe
(For There's No One Else Like You )
Othembekile Njalo
(Who is faithful ever true )
Impilo Yami Yonke Ifakaza Ngawe
(All My Life Is a Testimony)


Monday, August 1, 2016

NICHEZE LYRICS BY MR.SEED



Si eti kama nimelewa ,au nimepangawa
lakini roho akitembea ,yote sawa .
nakumbuka sana daudi ni kama jana,
alicheza sawa sawa ,lalalalaa,
huenda ikawa sarakasi na vituko mwenzangu,
vitu upendavyo,la la la la ,naomba unielewe,ninavyokueleza,
naomba unielewe hii ngoma ni yetu lazima tucheze,

wacha nicheze,
wacha mi nicheze,
mi nicheze,wacha mi nicheze,
kama daudi alicheza mbona me nisicheze,
(nisicheze)
kama daudi alicheza mbona me nisicheze,
(nisicheze)
mi nicheze,wacha mi nicheze,
mi nicheze,wacha mi nicheze,
kama daudi alicheza mbona me nisicheze,
(nisicheze)
kama daudi alicheza mbona me nisicheze,
(nisicheze)

sitacheza shoki,sitacheza na shakiti*




USHUHUDA LYRICS BY NICAH THE QUEEN


La la la la la la, la la la lalala eeeii eeeh
Raha balaa, sina hata pa kukaa
Kisa na maana, mapato yangu ndio balaa
Nikawaomba hao, wanipe hata mbao
Wakaniita omba omba, kwani nina mikosi gani


 (PRE-CHORUS)
Lakini nishabonga naye, hesabu nishafanya naye
Hauwezi niangushia wee, atageuzaa ×2


  (CHORUS)
Ushuhudaa, ushuhudaaa, atageuza aah
Ushuhudaa, nishuhudie, Mungu geuza
Ushuhuda, ushuhudaaa, atageuza aah
Ushuhudaaa, nishuhudie

Matamanio yanguu, iwe heri na mimi
Na jaribio languu, iwe sawa na wewe
Huwenda nikakosa ata loana
Nikakosa ata labda, nikakosa ata rada
Si siri inaumizaga


  (PRE-CHORUS)
Lakini nishabonga naye, hesabu nishafanya naye
Hauwezi niangushia wee, atageuzaa ×2


 (CHORUS)
Ushuhudaa, ushuhudaaa, atageuza aah
Ushuhudaa, nishuhudie, Mungu geuza
Ushuhuda, ushuhudaaa, atageuza aah
Ushuhudaaa, nishuhudie

Dawa kubonga naye,
Kazini bonga naye
Biashara bonga naye
Atageuza
Ndoa yako bonga naye
Watoto bonga naye
Ukikosa bonga naye
Atageuzaa......


 (CHORUS)
Ushuhudaa, ushuhudaaa, atageuza aah
Ushuhudaa, nishuhudie, Mungu geuza
Ushuhuda, ushuhudaaa, atageuza aah
Ushuhudaaa, nishuhudie

Atageuza aaah
Mungu geuza
Atageuza aaah
Nishuhudie